Sunday, September 15, 2019
Swahili > Guest Writer (Page 44)

Polisi wavamia ofisi za shirika la Action Aid International

Polisi nchini Uganda imevamia ofisi za shirikia la Action Aid International iliyopo Kasanga nje ya mji mkuu wa nchi hiyo...

Read More

Waandamanaji Watawanywa na Polisi nchini Uganda

Polisi nchini Uganda wamewatawanya waandamanaji wanaopinga kuondolewa katika katiba kipengele cha ukomo wa muda wa rais katika mji wa Lira...

Read More

Rais Magufuli Aagiza Ujenzi wa Ukuta Mgodini

Baraza jipya mawazir Tanzania

Rais wa Tanzania John Magufuli ametoa amri ya kujengwa kwa ukuta ambao utakuwa umezunguka eneo la mgodi wa Tanzanite, Simanjiro,...

Read More

Majina ya watanzania waliofariki katika ajili nchini Uganda yatajwa

watanzania 13 wapoteza maisha Uganda.

Polisi nchini Uganda hatimae wametoa orodha ya majina ya raia 13 wa Tanzania waliokufa katika ajali gari iliyotokea katika mji...

Read More

Gazeti la MwanaHalisi lapigwa marufuku nchini Tanzania

MwanaHalisi Tanzania

Serikali ya Tanzania imesitisha uchapishaji na usambazaji wa gazeti la kila wiki la MwanaHalisi kwa kipindi cha miezi 24 kuanzia...

MwanaHalisi yapigwa marufuku nchini Tanzania Read More

Afya ya Tsvangirai iko imara, yasema MDC

Afya ya Tsvangirai iko imara, yasema MDC

Chama cha upinzani nchini Zimbabwe cha Movement for Democratic Change (MDC) kimesema afya ya rais wa chama hicho Morgan Tsvangirai,...

Tsvangirai Read More