Tuzo hizi za ushairi za Ebrahim Hussein zilianzishwa mwaka 2014 ili kuenzi utunzi wa ushairi wa nguli huyo na mwalimu wa ushairi nchini Tanzania Profesa Ebrahim Hussein. Hii ni mara ya tatu kufanyika kwa shindano hilo tangu kuanzishwa kwake.


Picha ya pamoja ya washiriki wa tuzo ya Ebrahim Hussein.
Tuzo hizi za ushairi za Ebrahim Hussein zilianzishwa mwaka 2014 ili kuenzi utunzi wa ushairi wa nguli huyo na mwalimu wa ushairi nchini Tanzania Profesa Ebrahim Hussein. Hii ni mara ya tatu kufanyika kwa shindano hilo tangu kuanzishwa kwake.

